Pages

Friday, May 9, 2014

UCHAGUZI SAHIHI WA RANGI

Habari za siku nyingi wasomaji wa blog yetu,Tumekuwa kimya kutokana na majukumu .Mikutano ya mafundi Rangi sehemu mbalimbali ya nchi yetu.Kuanzia sasa tutakuwa tukiwafahamisha ni wapi mikutano ya mafundi rangi itakuwa ikifanyika katika mkoa wako.
hivi karibuni tuko mbioni kuandaa mkutano wa mafundi rangi wa mkoa wa Dar es salaam siku na mahali tutawajulisha.
Tutaomba fundi anayetaka kushiriki mafunzo hayo ya upakaji sahihi wa aina mbalimbali za rangi wajiandikishe mapema ili kupata idadi ya watakaoshiriki tukilinganisha na eneo.

Sasa turudi darasani kidogo!!!!

Ni upi uchaguzi sahihi wa rangi?
Swali hili nalielekeza kwa mwalimu
Fuatana naye ili ujue ni upi uchaguzi sahihi wa rangi.

Hii ni moja ya sehemu unayoyoweza kuchagua rangi


sehemu ya uchaguzi wa rangi chumbani

No comments: