Pages

Sunday, July 28, 2013

SI WATU WENGI WANAFAHAMU RANGI NI NINI. KAMA WEWE NI FUNDI HEBU JARIBU ILI SOMO LETU LIANZIE HAPO




Kitu chochote kile kikipakwa sehemu kikashika na kufunika kitaitwa rangi. na ili hili litokee rangi imetengenezwa na gundi, kiasili cha rangi, kimiminika na kiambatanishi.

Tunapaka rangi kwa lengo kubwa moja, kulinda vifaa vya ujenzi vilivyo tumika kujenga majengo. Vifaa hivi vimegawanyika makundi matatatu. mbao, metali na zege.

vifaa hivi huathiriwa na mambo ya mazingira kama joto, baridi, kemikali, vimelea na maji maji.


Ziko njia nyingi za kuhifadhi vifaa hivi, njia bora na rahisi ni kuvipaka rangi.